Ndoa ni kitu chema ambacho Mwenyezi Mungu amekiweka ili kila
binadamu aishi katika utukufu hapa duniani,maandiko Matakatifu yanatueleza kuwa
Mungu alipomuumba Adam aliona sio vyema Adam aishi peke yake,ndipo Mungu akamuumba
Hawa, ili asaidiane Adamu na waweze kuzaliana ili waijaze Dunia.
Ndoa...
14 Sep 2016
5 Sep 2016
FAHAMU FURUSA ZINAZOPATIKANA KATIKA MJI WA DODOMA NA JINSI YA KUZIMUDU KWA KIPATO CHAKO.
Utangulizi.
Tanzania ni moja ya nchi zilizobarikiwa sana na Mwenyezi
Mungu Kuwa na fursa mbalimbali za maendeleo kulingana na Jeografia ya nchi
yetu, fursa ambazo zimetumika na baadhi ya watanzania na wawekezaji kutoka nje
ya Nchi kujipatia maendeleo na kuwa matajiri wakubwa.
...
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)